Noeli ya mwaka huu 2020 inafanana sana na ile ya kipindi cha Yesu, mnazareti, chini ya mfalme wa Roma, Kaisari Augusti. Huyu alikuwa ni zaidi ya mfalme, alilazimisha kuabudiwa na kutolewa sadaka, kafala! Na kila uchao, aliongeza mzigo wa kodi mabegani mwa watu, jambo ambalo lilileta manungúniko makali kati ya wananchi wengi wavuja-jasho. Utawala wake ulikuwa wa maovu na mabavu. Haki na utu vilizimwa na vilizikwa. Povu la hofu lilitamalaki na kutamba kila kona.
Isitoshe, familia ya Yusufu, Yesu na Mariamu kama zilivyokuwa familia nyingi za kiyahudi wakati huo ilikuwa maskini sana. Aidha, Mariamu, mjamzito alikosa nafasi ya kujifungulia hospitalini…
Kitu ambacho kizazi hiki kinahitaji kufundwa zaidi ni NIDHAMU katika kila kitu, iwe ya kazi, muda, mahusiano na pia USTAHIMILIVU ambao sio sawa na uvumilivu.
Katika nyakati nyeti za uwazi na utandawazi, maisha bila mtandao hayawezekani. Huduma za internet sio starehe tena, zimekuwa ni haki na wajibu wa kiraia. Iwe taasisi, kazi au biashara zake zozote zile, zinahitaji mtandao fulani ili kujiimarisha na kuendelea kuwepo duniani. Ni ukweli kwamba, mabadiliko yaletwayo na utandawazi, yanakuja kwa kasi ya hali ya juu na ni makubwa kuliko uwezo wetu wa kuyahimili. Leo watu wanasema sio kabla ya Kristu na baada ya Kristu bali…
Kabla ya kufundwa jandoni. Nilijifunza kuhusu jinsia. Jinsi utofauti na upekee kati ya msichana na mvulana ulivyo taji la utajiri. Nilidhani mvulana ni yule anavaa kaptura na msichana ni yule anavaa gauni, tayari na hiari kwa kuolewa. La hasha, ilikuwa akili pimbi na pofu, sikuona, kama wengi wenu, kwamba mwanadamu ni zaidi ya kuoa,na kuishi kwa mkate tu.
Maana, kuna kuona na kutazama. Kutazama ni hulka ya kibiologia, ila kuona ni maamuzi. Wengi hatupendi kuona, because it compromise, maono yanawajibisha. Macho pamoja na kuona, haswaa, yana kazi ya kutoa machozi. Lakini, eti utasikia mitaani: “mwanaume hatoi machozi!” Kivipi?, wakati kila…
Era domingo. Eu levantei cedo. Dobrei os joelhos no oratório, e falei com os anjos. Finalizei com sinal-da-cruz e fui cuidar do serviço de rotina. De repente, veio uma senhora que queria se confessar, me preparei piedosamente e fui atendê-la. Ela me contou uma história longa, que estava cansada de viver, das rotinas rotuladas. Que trabalhou, batalhou, criou os filhos e netos, envelheceu…os filhos crescerem e todos saíram de casa. E agora o tempo se estende vazio à sua frente, ocupando espaços, pouco se importa a levantar cedo ou tarde, não faz diferenças, os dias ficaram todos iguais, é preciso…
Era uma tarde fresca, céu brilhava, suando luz. Estávamos sentados à sombra de árvore pau-brasil, lá na comunidade Pedra Preta- Serras da Amazônia legal, jogando conversa fora. Após de atravessar o rio Maú, flechar peixes e tomar banho nu. Na aldeia não havia espelho, a gente se adivinhava em poças d’água.Porque o espelho, ali imóvel, também nos olha quando dele nos cercamos. Prefiro espelhar-se nos desvãos da alma.
E falávamos e debatíamos sobre política indigenista, educação, desequilíbrio ecológico, os movimentos sociais e sobre a futuro da humanidade. …
CHAGUA TANZANIA 2020
Alitamani sana kuchaguliwa! Hapana: Aliazimia, kulazimisha kuchaguliwa kwa udi na uvumba. Mfalme Gumzo alianza kwa kufukiziwa ubani, maana alifukuzia cheo ambacho angeweza kujilipa mshahara na kujilimbikizia posho, mafao, na madaraka-bila kuulizwa na yeyote. Hakuridhika na madaraka, Mfalme alikuwa ni kila kitu, bila yeye nchi ilisimama, nukta.
Changamoto ya awali ilikuwa ni kupata kura halali na halaiki, sahau sanaa za giza. Ki ukweli, hakuwa na washauri makini, bali alizungukwa na mashabiki-tumbo waliofuata mkumbo na ukeleketwa kutwa. Nchi ilipandikizwa hofu na kupambwa na siasa za unafiki. Dhulma ilienea na kuelea kila kona. Wananchi walimwogopa Mfalme zaidi kuliko hofu yenyewe!
…
“Não basta não ser racista, precisamos ser anti racistas” Angela Davis
Descrições de diferenças culturais, raciais e físicas que denotam “Outros” mas permanecem imunes às categorias de valor ou status são difíceis de encontrar. Muitas, senão a maioria, das descrições textuais e texturas de raça oscilam entre dissimuladas, nuançadas e pseudo-cientificamente “provadas”. E todas elas possuem justificativas e pretensões de certeza destinadas a sustentar a dominação.
Logo que cheguei nas terras amazônicas, me falaram que pelo menos duas coisas, eu deveria aprender: caçar e navegar. Um jovem Macuxi da comunidade Uruka me perguntou se conhecia algumas estratégias de sobrevivência na…
Gente, a vida não é só produzir, acumular e reproduzir. Como nem todo aprendizado vem só das escolas, faculdade e cursos. Que muitas vezes se preocupam e se ocupam mais em produzir papeis e certificados. Sou padre, eternamente aprendiz e viajo muito pelas serras da Amazônia. Nessas regiões encontro gente que não sabe ler letras, lecionários. Mas que sabe ler e saborear o seu mundo. Nesse universo de outros saberes, sou eu o analfabeto. Não sei ler sacramentos da terra, não sei ler o cheiro do vento se vem chuva ou sequidão. Não sei caçar a noite. Pelo canto dos…
UMA PICADA DE POESIA
Quem sou eu?
Muitas vezes não sei…
Acredito que sou alguém.
Sou eu mesmo e não outrem.
Quem sou eu?
Sou pequeno, filho de uma mulher.
Sou negro, não alguém qualquer.
Quem sou eu?
Cara, essa pergunta é complicada.
Queria muito saber dizer,
Mas prefiro viver a vida que me foi dada.
Quem sou eu?
Um fio misturado.
De mistério e mítico.
De ossos, sangue, veias e versos.
Sou multiplicações e soma de vozes.
Quem eu sou?
Um ser, vez cheio de saberes.
Outra vez vazio de sabores.
Sou voz no hino divino.
Quem sou eu…
Ni kweli, lazima tutangulize siha ya moyo kabla ya silaha. Na silaha ya kwanza katika vita yoyote ile ni mawasiliano sawia. Sakramenti ya lugha ni muhimu sana. Lugha za kuagiza, za jumla-jumla na kauli za imla, badala ya kusaidia, huchanganya watu zaidi.
Kwa mfano, Kiranja Mkuu anasema tujifukize mitishamba, mwingine anasema hiyo ni hatari kwa afya, na wengine tumeze klorokwini. Miluzi mingi, kama walivyonena wahenga, humpoteza mbwa. Hakika, hii korona imetufumania na itatufunulia mengi!
a reader/philosophy/viajante